halafu anaforce kuingizia neno 'baby' kwenye sentensi- mgando zake
ujue Mission yake ya Kuku-replace na new baby IMEBUMA. Na wana mbinu
kweli,utashangaa meseji inaingia,''halo,mambo dear,eti ofisi za EWURA
ziko sehemu gani naomba nisaidie'..Haya utamjibu ofisi zilipo,utashangaa
anaendeleza libeneke,''Vipi lakini baby uko poa,umenichunia sana kwani
tuna ugomvi,au ndo mapozi kisa una shem mpya kakubana' Sasa unajiuliza
Shem kunibana na ofisi za EWURA zinahusiana
nini??Unagundua hapa EWURA imetumika kama chambo tu ili kuanzishia
conversation..Mchinjilie mbali atembee na bwana... If he/she treated you
like a joke please let it be funny....Hizi ni dalili amekuona wewe ndo
bwege wake,kama kuruta wa geti la jeshi lugalo,muda wowote Vifaru
vikirudi kambini yeye anafungua tu geti anapiga saluti
vinaingia..Usikubali kuwa mlinzi wa geti,mtu anatoka na kuingia muda
anaotaka na ulivyo zuzu we unafungua tu Shkamooni Ma-EX wote wenye Mbinu
za Ewura...Imekula kwenu kama umeipenda ? Waweza
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon