style="display:inline-block;width:680px;height:300px"
data-ad-client="ca-pub-3992075039970891"
data-ad-slot="7646462965">
Akizungumza na Ijumaa juzikati, Malick alisema kuwa huko nyuma alipomuona Rose alimtetemesha na kuamua kuingia mzimamzima mpaka kufikia hatua ya kupata naye mtoto lakini mpaka sasa hajatokea kama yeye.
Rose Ndauka.
“Unajua mambo yanapotokea lazima kukubaliana nayo na huwezi
kulazimisha. Tangu uhusiano wetu usambaratike, hajatokea kama Rose,”
alisema Malick.
Sign up here with your email
ConversionConversion EmoticonEmoticon